radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Mkuu Ukweli Ni Kwamba Washabiki Wengi Wa Chelsea Walikuwa ni Washabiki Wa Arsenal Walihama Mwaka 2005 Wakahamia Chelsea Kumfata Mourinho Wakivutiwa Na Drogba Kwa Wakati Huo...
Kwahiyo Hao Washabiki Wa Chelsea Ni Watu Wasiojua Mpira Na Ndiyomana Wanahisi Chelsea Ndiyo Timu Pekee Wanayoona Ndiyo Timu Ngumu EPL...
Hao Njia Yao Ya Kuwazima ni Moja tu!!!!
Wakijisifu Kuwa Chelsea Ndiyo Kigezo cha Timu Bira EPL waulize hivi "UNAKUMBUKA MARA YA MWISHO KUMFUNGA LIVERPOOL EPL NI MWAKA GANI?"
Uone kama atakuquote tena..
Kweli mkuu hawa jamaa wa ajabu wasahaulifu sana nikuwasamehe tu
