Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea alivofungwa na barnley dunia nzima ilirindimaa ...maana sio kwa zile kelele zenu, kila baya lilisemwa ..wachambuzi uchwara kama akina Shaffih na wengine waliongea kadri ya uwezo wao. Hata asiye shabiki wa mpira alijua Chelsea imefungwa ..mbaya zaid ni pale arsenal aliposhinda ile ngao ya hisani. ..apo ndo ilikuwa balaa

Sasa nyie kuna watu hata hawajui kama jana mmecheza
..man ilishaporomoka siku nyingi sana haina tofauti na QPR au Reading fc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kweli STOKE CITY sio watu wazuri

Sasa ndo umeongea nin apo ..
 
Tatizo mashabiki wa man u wanakelele sana yani mkishinda tu mtaani atuna amani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio kelele tupo wengi mtaani ndo mana tunaonekana tuna kelele watu 50 ni sawa na watu 10? Mpite kwanza ili umtulize utakuwa vipi na amani hata mtaani kwako mpo wachache karibu timu yenye mashabiki wengi duniani
 

Dunia ipi we jamaa unaizungumzia? Nigeria au mana huko chelsea inatamba
 
Poleni sana
Ndiyo soka
Lile linyama mwitu la Kameruni Chaupele Moutipo jitu baya sana!
 
Ahsante mkuu walikaza sana jana, ila na nyie poleni man city hana huruma kabisa. Nilipita kwenu kule kutoa pole zangu. Mwambie Salah next time akipata chanc afunge mapema

Refa Moss gave Man City a game
11 Man City 11 Liverpool hawatufungi popote pale!
Ku drop point kwa Stoke sio jambo zuri
 
Sawa ndugu mchambuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…