Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Kwenye hizi mechi 3, hizo dakika za mwisho tumefunga magoli ya ziada.
 
Nyie tunawapa gemu tano tu..

Ya sita kuendelea mbele mnatakiwa mjiandae kisaikolojia.

Ndo imepita ivyoo..

Sent using Jamii Forums mobile app

We jamaa kama paka shume, why mgumu kukubali kuwa Man utd kwa sasa ndio klabu bora Uingereza?
Mfano mzuri game ya jana, kama ingekuwa msimu uliopita either tungedroo au tungepigwa kabisa, sasa hivi ni kwamba tukianza kukutafuta hatuachi hadi dk 90 ziishe, hakuna kuremba wala kuridhika kiduanzi.

Ngoja tusubiri hizo game 6 ulizozisema najua utakuja na lugha nyingine.
 
Mimi naangalia hizi stats kwa msimu huu zipo chanya zaidi kuliko zilizopita.
It tells me that:
1.morali ya wachezaji ipo juu sana
2.team ina uchu wa ushindi
3.wachezaji hawakati tamaa
4.Wamejiandaa kwa ushindi muda wowote dakika yoyote.
5.Fergie time is back

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
wale leicester city jana tuliwachezea style inayoitwa nasaka mke wangu, yaani inakuwa mwanzo mwisho speed
 
Ronaldo ni mchezaji ambaye ameshinda karibia kila kitu katika maisha yake ya soka kasoro kombe la dunia, ametaja list ya wachezaji ambao wanaweza kuwa wachezaji bora wa dunia kwa siku za usoni.

“Nani anaweza kuja kunishinda kuwa mchezaji bora zaidi? hilo ni swali zuri naona baadhi yao ambao wanaweza fanya hivyo ni Marco Asensio, Kylian Mbappé, Neymar, Ousmane Dembele, Eden Hazard, Marcus Rashford na wengine baadhi”>>> Ronaldo
 


Ila kocha wetu alisema anatamani tuanze kupigwa halafu aone tutareact vipi kulikomboa goli au magoli hiyo ni point kubwa sana
 
Wakuu nafikir tumevunja rekodi ya kushinda mechi refa akiwa michael oliver huwa ni sare au tunadundwa kama nimekosea mnisahihishe huwa anatuumizaga sana huyu na yule alienda uarabun clutenburg
Mwenyewe nilivoona tu ma refaree wa jan yupo oliver nikasema kazi ipo apa...ila jana aliwabeba badae tukatumia uwezo wetu tukashind
 
Umekubali blind na Valencia si wazuri kwenye cross bado unataka wao ndio wawe wapiga cross, serious hadi leo bado unamtegemea shaw kwenye kikosi? Shaw huyu huyu anaecheza mechi mbili then anarudi wodini,

Msimu uliopita tulikua tunapata tabu sana kuzifunga timu zinazo kaa nyuma ya mpira, mechi nyingi ziliisha sare sababu tulikua hatuna mtu wa kuwafungua mabeki na kupiga cross za maana, hili tatizo limeonekana pia jana hasa kipindi cha kwanza, tatizo huu ushindi wa mechi tatu umetutia upofu tunajiona tumekamilika kila idara. Kama kweli tunataka tuwe real tittle contender tunahitaji wide player angalau mmoja kwenye kikosi.
 
Wakuu nafikir tumevunja rekodi ya kushinda mechi refa akiwa michael oliver huwa ni sare au tunadundwa kama nimekosea mnisahihishe huwa anatuumizaga sana huyu na yule alienda uarabun clutenburg

Mkuu kuna mtu wakati wachezaji wanaingia baada ya kumuona refa ni Oliver nilimwambia hii gemu leo lazima itakuwa ngumu, game zote nilizowahi kuziangalia akichezesha kama sio droo basi lazima tufe.
 
Upo sawa kabisa.

Jana nilikuwa kwenye harusi, nikawa nafuatilia kupitia livescore.

Nilivyoona tumeshinda goli mbili nilipooza sana.

Huwa siridhiki na magoli kabisa., tukishinda 4 ntaanza kujiuliza kwanini tusishinde 6 au 7?
Ushindi ni ushindi tu ikumbukwe Leicester walipaki mabasi mawili hadi tulipowafunga
 
 
Dembele nimemuelewa sana
 
Wide player wenye nao wanaringa sasa tufanyeje. Tulitaka kumsajili Perisic Inter wamedinda inabidi twende mzigoni na rasilimali watu iliyopo

Ikumbukwe Ferguson kombe lake la mwisho la EPL aliloshinda ni magoli ya Van Persie na hapakuwepo kross nyingi kwenye hayo magoli yaliyotupa ndoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…