Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Basel walishatufunga enzi ya fergie hawa tena walivaa jezi inayofanana na barcelona

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Shaquir na Fei walitupgia mpira mkubwa Sana... halafu vidic akaumia.... hawa Basel siyo mchezo lazima tuwapige nyingi kama zile tulizo wahi kumpiga Roma
 
Wakuu Huu Usajili Wa Zlatan Una Manufaa Kwetu? Kuna Wataalamu Wetu Wachanga Wanaweza Kupoteza Namba Wasiwasi Wangu Kwa Timu Yetu Nilikuwa Naona Tupate Winga Mmoja Mzoefu Mwenye Mbio Ngoja Tuone Ila Sina Imani Nae Hata Kidogo.
kusajiliwa tena kwa Ibrahimovic tafsiri yake ni kwamba rashford ndiye winger wa kudumu msimu huu hususan round ya pili na uwezekano wa kusajiliwa perisic ni 35%.
nahisi mourinho ameona ya kwamba rashford hatoweza kuipatia timu angalau wastani wa magoli 25 kwa msimu, ujio wa zlatan ibrahimovic hakuna shaka ana uwezo wa kufunga goli angalau 10 kwenye round ya pili.
rashford 15 goals + ibrahimovic 10 goals + lukaku 30 goals = premier league champion + fa champion + uefa semi finals
 
Ukiondoa safari ndefu ya kwenda kuwavaa CSKA Moscow Benfica na Basle hakuna upinzani

Safari ya Moscow na baridi yake hukinzana na mahitaji ya EPL

Timu tutakazokutana nazo katika ligi zitatarajia uchovu utawainua lakini ukubwa na ubora wa kikosi utawashangaza
upo sahihi sana, naamini mourinho atazitumia mechi za ugenini kuwapa nafasi michael carrick, lingard, lindeloaf, perreira kwa sababu timu zote zikija nyumbani zitaacha point 3 kwenye upanga wa lukaku akishirikiana na wachinjaji watakatifu antonio martial, mata, pogba, mkhitaryan,bailly na rashford.
tuna wapinzani 3 tu msimu huu
real madrid + bayern munich + psg (barcelona)
 
uploadfromtaptalk1503641631972.jpg
 
Hamna mchezaji pale, na kama mou atamtegemea kama msimu uliopita tutegemee maumivu mengine kwa kua na striker butu, tutegemee tene droo nyingi za 1:1, 0:0, sijui kwanini mou anamg'ang'ania
Wachezaji wanahitaji kupumzika, zaidi sana kutazama uwanjani na akiingia arekebishe makosa. Kingine inaweza kuwa aina ya uchezaji ikabadilika uwanjani na ukamwona anag'aa, labda kwa kulishwa mipira hasa kama hapo kati pako sawa.
 
Back
Top Bottom