Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu Mimi nataka niongelee swala la Zlatan

Uwepo wa Zlatan ni muhimu sana kama ilivyo kwa uwepo wa fellain pale man utd.Washabiki wengi wanaponda sana kuhusu Zlatan kurudi man utd,lakini mourinho anajua anachokifanya.

Mpira ni mahesabu,na Mourinho anajua mahesabu ya mpira.Kuna hawa wachezaji wafuatao ambao huwa na special kesi pale Man utd...[HASHTAG]#Darmian[/HASHTAG]...[HASHTAG]#Lingard[/HASHTAG]....na [HASHTAG]#Fellain[/HASHTAG].Hawa uwa mashabiki wengi awawaelewi lakini nyuma ya pazia mourinho anajua kwanini hataki waondoke.

Mfano mdogo Darmian,atakaa bench sana tuu lakini big match unamuona uyo...msimu uliopita kacheza big match zote.Mourinho anawachezaji wa aina tofauti tofauti ukilinganisha na wapinzani wake,kuna wachezaji wengine unaona hawafai kuendelea kuwepo pale man utd lakini wanakitu adimu ambacho kinawafanya waendelee kuwepo pale.

Ferguson alichukua Uefa na mwaka uliofata aliingia tena fainali uku akiwa hana majina makubwa sana.Hii ilitokana na kuwa na wachezaji tofauti tofauti...mfano Park ji Sung atasugua wee lakini big match ndani.

Sasa basi, Zlatan anakitu cha pekee ambacho Lukaku hana...Rashford hana wala Martial...Usitegemee Zlatan kucheza Dk nyingi kama msimu uliopita.Mourinho atamtumia Zlatan kwa mechi sahihi ,ataingia uwanjani kwa wakati sahihi na atakuwa anaenda kufanya kitu kitakachokuwa kinawashinda Lukaku na Rashford kufanya.

Ukiiangalia timu ya Mourinho,ni timu ambayo inawachezaji wenye vipaji tofauti tofauti. Nafaida ya kuwa na kikosi kama hicho ni kuwa na plan A,B mpaka C
Umesomeka mkuu.

Hii timu ni ya ishindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu tuache ubinafsi na roho mbaya kuhusu Zlatan, kapiga goli ishirini na nane kati ya game 46 alizocheza...unaanza kuona kwamba huyu sio mchezaji mzuri ?

Kuna watu wanasema kuhusu wachezaji wadogo kukosa namba...mie nasema namba wakose tu ila timu kushinda ndio swala la muhimu mwaka huu.

Ata tu ukitumia akili huwezi wapanga wachezaji wote wacheze...bench lazima lihusike iwe zlatan yupo au hayupo...thats a fact.

Pia sio kila game ,inakuwa inawafiti wachezaji wote kuna game za uzoefu zaidi, na hapa ndipo umuhimu wa wazee unapokuja.

Mie namkaribisha sana mzee Ibra
 
UNITED'S FIXTURE DATES

Tuesday 12 September: United v Basel
Wednesday 27 September: CSKA Moscow v United
Wednesday 18 October: Benfica v United
Tuesday 31 October: United v Benfica
Wednesday 22 November: Basel v United
Tuesday 5 December: United v CSKA Moscow
Noma sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BREAKING: Wayne Rooney retires from international football as England's all-time leading goalscorer mirror.co.uk/sport/football…
Screenshot_2017-08-24-12-39-46.png
 
Ukiondoa safari ndefu ya kwenda kuwavaa CSKA Moscow Benfica na Basle hakuna upinzani

Safari ya Moscow na baridi yake hukinzana na mahitaji ya EPL

Timu tutakazokutana nazo katika ligi zitatarajia uchovu utawainua lakini ukubwa na ubora wa kikosi utawashangaza
 
Back
Top Bottom