Mkuu Mwenzio Man City Kalambwa Kadi Nyekundu Ya Mapema Kakomaa Na Kukomboa Goli Wewe Ulikuwa Hom Hapo Hapo Had Dakika Ya 40 Ushakula Chuma 3 Toka Kwa Burnley Upooo.
Zlatan Ni Mchezaj Mzur Ila Kwa Sasa Siungi Mkono Kurud Kwake Kuna Madogo Watapotea Namuona Perreira Valencia Wanamtaka Kwa Mkopo Mi Sijapenda Timu Inatakiwa Waanze Kupewa Madogo Na Alishasema Anapenda 6 Au 10 Kwa 6 Ni Ngumu Kupata Namba Sasa 10 Akirud Zlatan Itakuwaje? Angesepa Tu Labda Awe Kocha Mchezaj Muda Mwing Akae Na Mou Bench.
Mkuu Hiv Wakina Perreira, Tomy,demetri Na Tuanzebe Bado Hawajajumuishwa? Pia Kuna Shaw Hapo Jana Kaupiga Mwingi Under 23 Mensah Mwakan Atarud The Future Is Bright.
Safi Sana Herrera Anawavua Makofia Walikuwa Wanajificha Hapo Sasa Darmian Tarajia Kumuona Akicheza 3 Mbele Yake Yupo Young Ktk Mech Ngumu. Rojo Bado Nafurah Anarudi Mwez Wa 11
Mkuu Mwenzio Man City Kalambwa Kadi Nyekundu Ya Mapema Kakomaa Na Kukomboa Goli Wewe Ulikuwa Hom Hapo Hapo Had Dakika Ya 40 Ushakula Chuma 3 Toka Kwa Burnley Upooo.