xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Huyo mwana angekua demu kila siku angekua anapigwa mitungo tu, mambo ya msimu uliopita anayatafutiza hadi leo, huyu ndio alikua katega masikio anaomba tusicheze uefa ili aje aimbe ngonjera zake hapa, alipoona tumejihakikishia kucheza hakuposti mwezi mzima humu.hivi kwanini unaona raha sana kuvutana na mashabiki wenzako?yaani wewe asubui mchana jioni usiku mpaka kunakucha tena kazi kubishana na wenzako tu!!
Rooney alishajifia kitambo sana, Everton ndio saizi yake kwa sasa
Thursday, August 24th
BT Sport 2 / live stream Uefa.com