MsA11
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 303
- 582
Dogo ilibidi awekwe chini ya Giggs amuelekeze nini anatakiwa kufanya kama alivyofundwa Rooney enzi hizo. Anaweza kupotea mapema ilhali ana kipaji kizuri akawa kama JanuzajSubstition za mourinho so far zimeleta matokeo positive rashford ajiangalie sana asitake awe anafunga muda wote
Martial he has been briliant anajua kuna kufunga na kutoa assist
Well done well one so far team iko sawa kabisa ila namba saba naona wameaua kuiua moja kwa moja sa hvi



Substition za mourinho so far zimeleta matokeo positive rashford ajiangalie sana asitake awe anafunga muda wote
Martial he has been briliant anajua kuna kufunga na kutoa assist
Well done well one so far team iko sawa kabisa ila namba saba naona wameaua kuiua moja kwa moja sa hvi
Halafu kumetulia sana mkuu, walikuwa na msiba mwingine nini? 😀😀😀😀Jamani mtaa wa jirani asernal kimenuka huko![]()
humu humu kunatosha ili wapambane vizuri na hali zao mwaka huu ni kichapo kila timuMashabiki wa Man U JF tutengeneze group letu la whatsapp.
Wazo tu nimetoa.
Mana wengine huku ni wale wapinzani wetu tu.
Wanachangia kinafiki tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tukutane kesho naomba usikimbiesasa niwaulize vipi ubingwa wa epl mtaubeba au ni nguvu ya soda nyinyi mashetani


Jamani mtaa wa jirani asernal kimenuka huko![]()


mkuu mi nasubiri apigwe hadi kipyenga cha mwisho ili leo nilale murua kabisaHivi mechi moja ndio mnatoa hukumu kwa huyu 19yrs old? Hebu acheni ushabiki wa ajabu ajabu!Dogo ilibidi awekwe chini ya Giggs amuelekeze nini anatakiwa kufanya kama alivyofundwa Rooney enzi hizo. Anaweza kupotea mapema ilhali ana kipaji kizuri akawa kama Januzaj
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee.....ndio maana huku mtaani wanasema Man Utd tuna kelele!Ila ile assist ya micki kwa pogba alikua anaangalia kwengine pasi akapiga sehemu nyingine dah.... Kuna mkuu alisema humu labda wamkate miguu msimu huu.
Sent From Heaven
TOKA PEPOsasa niwaulize vipi ubingwa wa epl mtaubeba au ni nguvu ya soda nyinyi mashetani
Hahahaa wale mafala sanaJamani mtaa wa jirani asernal kimenuka huko![]()
Kikao cha dharura kimefanyika na kutathmini uwakilishi wenu penye misiba ya jirani jinsi ulivyotukuka na namna mnavyoifaya kazi hiyo kwa weledi mkubwa kamati imeamua jukumu hilo liendelee kuwa kwenu bila kuomba kibali wala kupangiwa cha kusema.leo nimeamini, wageni wetu wanapendaga kuja wakati wa majanga tu. ila usijali tutafanya kama ulivyoagiza.
Ndio hivyo ile what a comeback leo hakuna twendeni tukatoe poleJamani mtaa wa jirani asernal kimenuka huko![]()