

Sometimes ukiwa na mbio mpongeze na anaekukimbiza. Swansea wamejipanga,walijua wanakutana na nini. Na njia mojawapo ya kuwafunga ni mipira ya adhabu. Kipindi cha pili kitakuwa kizuri.Dahh wakuu
mi sielew kwa nn leo tupo slow hivi
1. mwangalie Rashford aisee
2. Pogba
3. Blind
4. Mik
5. Mata
dahhh kiukweli leo ni kama vile wamekula mbaazi na ugali wa uwele...hapa kibanda umiza nlipo watu presha juu juu aisee....Mou do something for sure
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii game imebana kweli
Dahh wakuu
mi sielew kwa nn leo tupo slow hivi
1. mwangalie Rashford aisee
2. Pogba
3. Blind
4. Mik
5. Mata
dahhh kiukweli leo ni kama vile wamekula mbaazi na ugali wa uwele...hapa kibanda umiza nlipo watu presha juu juu aisee....Mou do something for sure
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli rashford anazingua ladba tungoje kipindi cha pili!Rashford anapapara sana haijawahi kutokea pale angefunga..game ya madrid alizingua tena hivihivi...
Sent using Jamii Forums mobile app