Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

a6612479597698f00bab648d9fd8ced9.jpg
 
Dahh wakuu

mi sielew kwa nn leo tupo slow hivi
1. mwangalie Rashford aisee

2. Pogba

3. Blind

4. Mik

5. Mata


dahhh kiukweli leo ni kama vile wamekula mbaazi na ugali wa uwele...hapa kibanda umiza nlipo watu presha juu juu aisee....Mou do something for sure

Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes ukiwa na mbio mpongeze na anaekukimbiza. Swansea wamejipanga,walijua wanakutana na nini. Na njia mojawapo ya kuwafunga ni mipira ya adhabu. Kipindi cha pili kitakuwa kizuri.
 
Dahh wakuu

mi sielew kwa nn leo tupo slow hivi
1. mwangalie Rashford aisee

2. Pogba

3. Blind

4. Mik

5. Mata


dahhh kiukweli leo ni kama vile wamekula mbaazi na ugali wa uwele...hapa kibanda umiza nlipo watu presha juu juu aisee....Mou do something for sure

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndo mpira utaenda spidi uku unakutana na ukuta mbele? Pale raia wanacheza kwa akili mingi. Slow but sure. Ndomaana utaona tumewakosa goli 3 za uhakika. So kipindi cha pili lazima wakae tuu maana goli moja hili litawafanya wafunguke waachie mbawa za Rashford, Mata na Miki ili wampe Lukaku nini anataka.
 
Back
Top Bottom