Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Matairi 4 kama ya VitzLukaku
Pogba
Bailly
Martial
Hata kama mna chuki na majirani hapana aisee siyo kwa minyoosho hiyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Matairi 4 kama ya VitzLukaku
Pogba
Bailly
Martial
Hata kama mna chuki na majirani hapana aisee siyo kwa minyoosho hiyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole polee...


KaribuSijui nihame Barcelona nije Man u? Kwenye raha ndo huwa nakaa. Man u mwaka huu raha zitawaua..lol!
I'm thinking loud tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Man united ni Manchester united.Sio Man U ni Man United.
We deserved this..Manchester united 3 goals in 3 minutes and 40 seconds (commentator)
Yawe matano matano kama vidole vya mkono..?Kwani hatuwezi kuongeza moja?


Asee wwe na mm tunashare hii kitu japo naongezea na mata. Hawa watu nawakubali sana.Nikimuonaga martial anafunga najisikia raha sana aisee... Still tupo kwenye 4G
Sent From Heaven
acha tu, kama utani kumbe kweli.Mpaka dada yangu haamini![]()
![]()
![]()
![]()
daah wapi dada Eve? Tumemmiss sana humu mzuka wake
hahahahaaa yakatokea mwanaume mashine. woyooooooWalibaaaanaaaaa weeeeee !!!!!
Mwishowe mapaja yalichokaaa....
Nani anajua kilichofuataaaa?????
Sent using Jamii Forums mobile app

. Kocha wa Swansea atakuwa anajilaumu sana huko alikoHaters msimu huu wana kaziPole polee...
Hatutaki habari ya gari liliacha njia![]()


