Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hatareeee mkuuu
Hatareeee mkuuu

Ni utani ...acheni masihara jamani, ni kweli ama???
woyoooooo
hahahahaha, hatusemi tena tumefunga mdomo.Halafu nisisikie mnamsema fellain tena humu ndani!![]()
![]()
![]()
Hakuna mwenye ngozi nyeupe hata mmoja aliyefunga mpaka sasa.Ni utani ...
Ila wale waliofunga magoli last week
Karibia wote wamefunga leo tena..
Nadhani umeelewa sasa
️
️
️Mkuu niliwahi mponda Felaini humu, ila kuanzia nimefuta kauliHalafu nisisikie mnamsema fellain tena humu ndani!![]()
![]()
![]()
unajua siamini sababu nilikuwa nawaza kuwa tuongeze la pili ili roho itulie, asa nakuja kuchek nakuta 4 kabisa. nikahisi labda naota.Ni utani ...
Ila wale waliofunga magoli last week
Karibia wote wamefunga leo tena..
Nadhani umeelewa sasa
Nafikiria mahali pa kwenda kumaliza furaha sipaoniFT: Swansea 0 - Man United 4