Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

a15fea4b4cdade5bc0d0db59a6e42989.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulivofungwa 2-1 na madrid kuna watu waliimba ngonjera utadhani tumefungwa 3-2 na burnley tena nyumbani

Yes am cunt, next question?
hahahaa waliona burnley ni timu nyepesi kwao kumbe aibu inawanyemelea.
 
Yeah lakini Martial ana impact sana aisee sijui kwann...hahahaa..goal na assist...Nna muadmire Martial kila wakat

Sent using Jamii Forums mobile app
Akiendelea kucheza hivi kwa kasi na kuanza kukaba basi sina wasiwasi na nafasi yake ndani ya Man United.

Tatizo kubwa la Martial kwa Mou ni Martial kutokujuwa kukaba na kupambana hasa uwanjani.

Ila Martial ni mchezaji mwenye kipaji,namuona akija kuwa mchezaji mkubwa sana duniani akiachana na matatizo yake nje ya uwanja, Mou anatakakiwa kukilinda na kukikuza hichi Kipaji.

Kwangu ni Rahisi kwa Martial kuja kuwa mchezaji Mkubwa duniani kuliko Rashford ingawa wote wana uwezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiendelea kucheza hivi kwa kasi na kuanza kukaba basi sina wasiwasi na nafasi yake ndani ya Man United.

Tatizo kubwa la Martial kwa Mou ni Martial kutokujuwa kukaba na kupambana hasa uwanjani.

Ila Martial ni mchezaji mwenye kipaji,namuona akija kuwa mchezaji mkubwa sana duniani akiachana na matatizo yake nje ya uwanja, Mou anatakakiwa kukilinda na kukikuza hichi Kipaji.

Kwangu ni Rahisi kwa Martial kuja kuwa mchezaji Mkubwa duniani kuliko Rashford ingawa wote wana uwezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Martial akipewa regular chances tutamfurahia sana...hata juzi alivyofunga hakufurahia..naona bado hana furaha na mpira wake kitu ambacho ni risk kwa perfomance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu inatakiwa kuwa na njaa ya kufunga muda wote sio kama msimu uliopita goli moja tu wanazubaa hadi linarudishwa
Naona mabadiliko ya kiufundi kwa Mou now anaiona Man United ni timu ya pili nyuma ya Real Madrid duniani na anataka kupambana na o msimu huu.

Baada ya Dakika 15 ya mchezo na West ham nilimuona akisimama na kuwaonyesha saa wachezaji wake,Pogba,Rashford na Mikh kwa nini timu haikupata goli ndani ya dakika 15.

Game plan ilikuwa ni kupata goli ndani ya dakika 15 za mwanzo.

Na walichotakiwa kufanya Rashford,Pogba na Mikh ni kumlisha Lukaku kadri inavyowezekana ili ashinde.

Mou hana shida na Goal score mashine yake LukaGoal ni kumpelekea mipira pale mbele.

Ila Lukaku ni Simba aisee ndani ya uwanja,anapambana kweli kweli.

Nimefurahishwa na Rashford kweli ana njaa huu msimu.

"we are On fire"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom