Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Hahaha hahaha haha sawa mkuu,cute b
Nimeona hapo juu unasema unataka "kujisogeza" kwa "LukaGoals"
Kwa niaba ya mashabiki wa Utd hapa JF ninakuomba batilisha uamuzi wako huo
Unakumbuka kipindi cha "Mrs Depay" ? ulisababisha kijana akawa "mtete" hata kupiga chenga akawa hawezi
Plz plz tuachie kwanza LukaGoals awatengeneze hawa wakaanga sumu wote watakaokatiza mbele yetu
Kwa kukusaidia ombi lako, tunakukabidhi kwa the one and only Kichuya, naye yupo available
Asante sana kwa kutuelewa kwa manufaa na timu yetu
GGMU
Shukran nyingi kwa kupongeza
Mkuu yaan huyu martial ni hatar saanaYeah lakini Martial ana impact sana aisee sijui kwann...hahahaa..goal na assist...Nna muadmire Martial kila wakat
Sent using Jamii Forums mobile app
You are welcome mkuu!!Hongereni wana Man U
Hiki kikosi kitaweza kuwafikisha mbali aicee
Coz kiungo swafi, beki na hata ushambuliaji