Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man United ikifungwa tu lawama zote zinaenda kwa Pogba, mechi ya Madrid, Rashford alikosa goli la wazi, Lukakua alikosa goli la wazi lakini lawama anatupiwa Pogba
Kukosa goli ni jambo la kawaida, hata hao messi na cr7 wanaweza kukosa, ishu ni pogba kuwa mzito wa kufanya maamuzi, kujiamini sana, na kucheza na jukwaa
 
Kukosa goli ni jambo la kawaida, hata hao messi na cr7 wanaweza kukosa, ishu ni pogba kuwa mzito wa kufanya maamuzi, kujiamini sana, na kucheza na jukwaa

Kwahiyo kukosa goli ni jambo la kawaida? Tukimaliza nafasi ya 6 kwa kukosa magoli ya wazi mtaendelea kumshambulia Pogba.
 
Thanks for this analysis,kudoz@Belo.

Kitu kizuri kwa sasa tuna kikosi kilichosheheni na kutimia ,tunamchanganyiko wa wachezaji wenye uwezo wa wastani na worldclass players.

Nadhani tukipata na mshambukiaji mmoja na winger aliyekamikika tutatawala sana soka la Ulaya kwa msimu mitatu minne ijayo.

Tupo vizuri kwa kweli kwa sasa,kila namba ina wachezaji zaidi ya wawili na wote ni moto.

We, r On fire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kukosa goli ni jambo la kawaida? Tukimaliza nafasi ya 6 kwa kukosa magoli ya wazi mtaendelea kumshambulia Pogba.
Yes, kama unakosa mara chache ni jambo lakawaida sana, kama wangetengenezewa nafasi kama zile zaid ya 3 kila mmoja halafu zote wakakosa tungewalaumu, lakni unatengeneza nafasi moja akikosa tutasema ni bahati mbaya, zlatan msimu uliopita ilikua jambo la kawaida, alikua anakosa magoli ya wazi mengi kuliko aliyokua akifunga ndo maana nilikua naongoza kumtupia lawama
 
fundi kumbe upo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…