Huyo Bakayoko umemuona mechi ngapi ?
Matic amekuwa kikosi cha kwanza Chelsea na ana medali 2 za EPL jana Conte analalamika kwa nini management ya Chelsea walikubali kumuuza
Hayo ni masihara zaidi. Hivi mbona Mourinho anabadili utamaduni wa Man U wa 'hakuna mchezaji Mkubwa kuliko klabu'? Zlatan alikuwa hivyo kule PSG, sasa naona hilo linataka kuja kwetu. Klabu ishatangaza kumuacha lakini inampa option ya kusaini tena au kuondoka manake nini, kwa kipi alichonacho yule mzee? Kiukweli naamini Ibra wa Jana c Ibra wa Leo.
Ndugu we unajua mpira kweli?...lampard, Steve G,Paul Scholes pamoja na Konte Mwenyewe wanashangaa Chelsea kumuachia Matic. .....jamaa ana kila kitu, anakaba,anachezesha team,anafunga. ..
Ndugu we unajua mpira kweli?...lampard, Steve G,Paul Scholes pamoja na Konte Mwenyewe wanashangaa Chelsea kumuachia Matic. .....jamaa ana kila kitu, anakaba,anachezesha team,anafunga. ..
Wachezaji wetu sijui wamekuwaje, ukiangalia kikosi alichochukua nacho ubingwa Ferguson mara ya mwisho na hiki alichonacho Mou hiki cha mou kina wachezaji wanaoonekana wazuri zaidi..
Ona kitu kama hiki.. Sijui ni hawaonani au ni nini