Kulikua na haja sana ya kutumia "pace na trickery" ya Martial kwenye winga mojawapo hasa kipindi cha pili...bahati mbaya sana kocha alikua na mawazo tofauti.
NB: Timu nyingi zinammezea mate Anthony ila hathaminiki OT, hadi Lingard yuko mbele yake kwenye pecking order!
Mourinho,good coach. Poor man management
Sent using
Jamii Forums mobile app