Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man utd timu tunayo,Madrid sio timu ya mchezo.Uwepo wa modric,casemero na kroos bila kumsahau isco na ukilinganisha wamekaa mda mrefu pamoja,inakua ni vigumu kufungika.

Hiyo ni moja ya sababu imetamba Uefa kwa misimu 2 mfululizo.Juventus ilikua inasifika kwa beki imara lakini mwisho wa siku walipigwa 4.

Yote kwa yote Matic tumelamba dumeeee... Tukutane jpl ndio mtajua man tunatimu
 
Bandugu zote za hii jukwaa, hongera sana kwa kuisaidia Real Madrid kutwaa taji la Super cup. Ni mwanzo mzuri kwa Mou kujitambua mapema kwamba PL inaanza sasa.
 
.mnatafuta sababu.
alaf huyo matic ni gari la mkaa.
Trip moja shamba ya pili gereji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…