Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hao wote ni bora tuwakaushie..tuna mikhi na martial

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Mkuu nafikiri kama tunaweza kuwasajili tuwachukue maana kama utakuwa uligundua msimu uliopita ni kuwa kikosi chetu depth yake ni ndogo sana na ndio maana tulikuwa na injury nyingi which is most of them ni kwasababu ya fatigue. Lazima tuwe na wachezaji wazuri wa akiba pia. Kumbuka kipindi cha Fergie, unatoa moto unaweka fire.
 
Mkuu nafikiri kama tunaweza kuwasajili tuwachukue maana kama utakuwa uligundua msimu uliopita ni kuwa kikosi chetu depth yake ni ndogo sana na ndio maana tulikuwa na injury nyingi which is most of them ni kwasababu ya fatigue. Lazima tuwe na wachezaji wazuri wa akiba pia. Kumbuka kipindi cha Fergie, unatoa moto unaweka fire.
kikosi mpaka hapa kilipo tayar ni kipana..fergie mwenyewe alikuwa na watu wa kawaida tu kama tulionao saivi..2013 under van persie,cleverley,rooney,hernandez mbona tulinyanyua ndoo!!

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
ndo hivo ishu ni team ipigane kweli kweli..na mou aache bifu na baadhi ya wachezaji..

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Ni kweli kabisa mkuu. But kama namuona Mourinho aki-interact vizuri na wachezaji wake, anaonekana mwenye furaha na amani tele na ndio maana akasema anataka kukaa kwa zaidi ya miaka 15 maana yake ameona kuwa kuna uwezekano huo.
Na kama umekuwa ukifuatilia sana, wachezaji wao kwa wao pia pamoja na kocha wakati mwingine wamekuwa wakionesha ile chemistry flani, utani utani, ile kuingiliana kwenye interview (Refer ile ya Ibrahimovic na Micktaryan pamoja na juzi kati USA wakati Lingard akihojiwa Mourihno akaingilia). Unaona kabisa wachezaji wako happy na manager wao. So sidhani kama kutakuwa na bifu, I hope at least.
 
Back
Top Bottom