Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Penati ipi hiyo
Penati ipi hiyo
Siangalii mechi ila nimechek highlights hapa, ile ni indirect free kick kwa sababu De Gea alishika mpira aliokuwa amerudishiwa na Blind.
Asante mkuu.Siangalii mechi ila nimechek highlights hapa, ile ni indirect free kick kwa sababu De Gea alishika mpira aliokuwa amerudishiwa na Blind.
Tuko pamoja.
Possibly can be done... Hawa mawakala wanaamua kadri wanavyotaka.Kuna tetesi Neymar anakuja United.
Ndo atavaa jezi namba 7.
Najaribu kulinganisha kiwango cha martial kwa sasa na umri wake naona ni asset kubwa barazani kwetu OT..huyu perisic ndiyo ni mzuri ila umri umeenda kidogo kulinganisha na martialMartial hawezi kuuzwa. Condition iliowekwa na Inter Milan ni kwamba kama Manchester Utd inamtaka Perisic basi watoe €50mil + Martial kwa mkopo wa msimu mmoja au kama hawataki kumtoa Martial basi walipe full €55mil.
shabiki mnazi means MSHABIKI WA DAMU
Twende sambamba