Jitahidi kutafuta comments zangu humu,zipo nilizoandika kuhusu umuhimu wa kusajiliwa kwa Matic katika kikosi chetu this season.
Na nikafanya na analysis,ila kwa kifupi tunamuhitaji Zaidi Matic na ni bonge la mchazaji.
Katika kikosi chetu tuna upungufu wa mchezaji namba 6,yaani defensive midfielder aliyekamilika kiasili.
Kwa sasa tunaye Carric tu ila naye umri umeenda sio wa kumtegemea kupambana katika michezo yote,Matic anaweza kutusaidia.
Sent using
Jamii Forums mobile app