Manchester United (Red Devils) | Special Thread

With Matic secured at Man Utd, Mourinho will give Galatasaray the option to sign Marouane Fellaini only at the right price.
 
Nemanja Matic underwent a medical at Carrington this morning (@TuftyMUFC)

[HASHTAG]#mufc[/HASHTAG] and Chelsea have agreed a £40m fee for Nemanja Matic [sky]

Hizi habari mnazitoa wapi? Au mna watu inside Carrington nini maana naangalia hapa reliable sources wanaonesha jamaa wapo close kusajili, ila bado hawajafikia makubaliano
 
Hizi habari mnazitoa wapi? Au mna watu inside Carrington nini maana naangalia hapa reliable sources wanaonesha jamaa wapo close kusajili, ila bado hawajafikia makubaliano
Si unaona hapo kwenye mabano kuna sources za taarifa. Hao ni waandishi wanaominika,na raha ya rumours ni kutoka kabla ya official club announcement. Wamefanya hvyo kwa lukaku, Lindelof, Morata nk.
 
Mkuu..! Unaonekana unamkubali sana jembe Marcus rojo.
Kinouma yani huyu jamaa huwa anafanya niipende man u mara mia zaidi anajituma uwanjani ni fighter sana, saivi namwombea apone haraka aise!
Kuna mwingine anaitwa Ander Herrera nae ni moja ya watu nawaelewa sana pale OT
 
Nimekusoma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…