Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ungekuwa na akili hata ya kuvukia Barabara tuu ungegundua kitu, hizo goli 40 kwa miaka 4 amecheza mechi ngapi??? Na huyu romelu likuku amecheza mechi ngapi kwa hiyo miaka 4????

Pogba wa tz nchi imekushinda!
Sasa mtu ambaye hapati nafasi ya kucheza si ina maana hajui mkuu,hiyo akili ya kuvuka barabara umeshindwa hata kuitumia? Madrid huchezi na umezungukwa na wachezaji hodari bado wafunga hizo goals,na Juve je? Chelsea ni timu ndogo so atapata nafasi tu usijali mkuu..[HASHTAG]#GGMUTD[/HASHTAG]
 
Hiakuwa mechi ndio maana mmewafunga tofauti na hapo mngeoga sana tu
 
Naona man utd fansa wanawasifia sana lukaku rushford .....ila jaman mmesahau hawa wawili Micki na lingard ....kwenye pre season wame onesha kiwango kikubwa sana ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…