Bado naiona nafasi ya Morrata,na nitakuwa wa mwisho kuamini kama hatutomsajili Morrata.
Lukaku sio mchezaji wa kuamua Ushindi wa timu,ila ni mfungaji mzuri,timu inapozidiwa huwa hana msaada,yeye anahitaji sana Usaidizi wa timu katika ushindi,
Morrata ni mtu wa mwisho,anaweza kufanya maamuzi ya Ushindi wa timu pale tunapozidiwa,ana uwezo binafsi katika kufanya maamuzi.
Sababu ya pili,Tupo UEFA champion na Mou anataka kurudisha makali yake,Lukaku ametuthibitishia uwezo wake wa kufunga katika katika EPL lakini bado katika UEFA,tuna match nyingi so kuna haja ya kuwa na mshambuliaji mwingine wa kumsaidia,kumbuka tuna michezo Zaidi ya 50 per season kwa mashindano yote.
Sasa wachezaji wa Man U nao wanaonekana kuwa World Class player,misimu miwili nyuma hatukataka hata kuwasikia, hii kitu ndio tuliimiss tulikuwa wanyonge sana,tukaanza kufungwa na timu ambazo hazikuwa hi kutufunga kabla,na kutoa droo na vitimu vidogo ambavyo mwanzo tulivifunga kwa ukubwa na hadhi ya jina,now baada ya kusajiliwa kwa Mou, na yeye kuwasajili akina Pogba na sasa Lukaku na bado kuwa sokoni na kiasi kikubwa cha Pessa, kuchukua Europa Legue now tumerudi katika line yetu.
Next season kuna timu zitakuwa zikifungwa kwa ukubwa wa Jina na Wachezaji wetu,hichi ndio kiti alichokijenga Fegurson ndani na nje ya uwanja.