Habar kutoka sky Italia zinasema inter wameweza kuraise fund 30 million zilizokua zinahitajika FFP hivyo hawatweza kumuuza tena Ivan peresic so nahisi ni muda wa kuangalia kwengine ikiwa dirisha la usajili linafunguliwa tarehe 1 julai hivo mou akitaka angalau wachezaji wote wawe kambini kabla ya kuelekea marekan kwenye tour 2017
Ni hayo tu nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.