Josee kaamua kupimana ubavu na perezi, not such bad at the end wataafikiana,,si morrata wala de gea mwenye thamani tajwa,,
Kwangu mimi kiungo mkabaj anatakiwa aje bakayoko, tallisca, reynato, fabinho au dier na sio matic, siping uwezo wake ila hua siwakubal holding wanaotumia left foot zaid, bora kiduku wa roma