Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Na sio guarantee kuwa ukimleta mchezaji bora wa ligi fulani lazima awike..
 
Pia anaweza mchezesha kama LWB
 
Belloti nimemutazama mbona siwakiwango kile cha kutisha..

Perisic yupo vizuri mno!!

Bellotti ataishia kama mwenzake aliyeenda kumrithi lewandosky pale Dortmund ciro Immobile sasa hivi ni wa kawaida tu karudi lazio.Alianza vizuri Torino kwa kasi kawa mfungaji bora kashindwa kuwika nje.Sikutegemea kama Kiko(macheda)angechezea serie B,Tulikuwa na game Cesena na Novara nikamuona jamaa ndiye striker wako naye kashuka sana japo ndiye aliyetufunga goli la ushindi.United kama watamchukua Perisic au brozovic wote wachezaji wa inter jamaa wapo vizuri kwa mfuatiliaji wa Serie A hata na yule wa Madrid amenunuliwa kwa hela nyingi lakini ni benchi la modric.hawa jamaa wa Croatia wana wachezaji viungo wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…