Wanasema wamegundua yule ng'ombe anatabiri matokeo kinyume...alisema Ajax lakini ni man united wakaibuka mabingwa...sasa nasikia ametabiri madrid atashinda na kwenye FA chelsea atashinda
ngoja tusubiri tuone kama ni kweli kwa sasa asichinjwe kwanza
Yule ng,ombe yuko sahihi katika utabiri wake!!Ng,ombe katabiri Ajax kaliwa!!kilicholiwa si kilikuwa ktk Chombo cha Ajax??maana yake Ajax ataliwa na kaliwa Kweli tena mapemaaaA
Ni funzo kubwa sana maishani kwamba usipoteze muda kung'ang'ana na vitu ulivyopoteza bali tumia kile ulichonacho na ukishike sana ili ufike unapotakiwa.
everlenk
Njoo huku kun vijana wapya wamevamia sred yako!
Ww hukuondoka ktk sred hii hata team ilipokuwa down
Lkn sasa wamevamia hawa wanaokuja team inapofanya vyema tu wanataka kukupokonya sred!
Pigania haki yako shem
Ni funzo kubwa sana maishani kwamba usipoteze muda kung'ang'ana na vitu ulivyopoteza bali tumia kile ulichonacho na ukishike sana ili ufike unapotakiwa.
Arsenal missing out on the Champions League for the first time in 20 years, but they've never won it.. What are they going to miss exactly, UEFA anthem!!
???