Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Yule ng,ombe yuko sahihi katika utabiri wake!!Ng,ombe katabiri Ajax kaliwa!!kilicholiwa si kilikuwa ktk Chombo cha Ajax??maana yake Ajax ataliwa na kaliwa Kweli tena mapemaaaA
 
In fact alipoona nguvu ya kukabiliana na akina Chelsea ni ndogo, Mourinho aliamua kuhamishia majeshi Europa. Uamuzi wake haujamuangusha kabisa
Ni funzo kubwa sana maishani kwamba usipoteze muda kung'ang'ana na vitu ulivyopoteza bali tumia kile ulichonacho na ukishike sana ili ufike unapotakiwa.

#Mouisgenious#VivaUnited#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…