Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Taarifa ni nzuri siyo kwa man UTD tu bali kwa timu zote kwenye English Premier league.........

have become the first club to top the £60m mark in earnings from Premier League prize money and TV cash.
United earned £60.4m as the new record overseas TV deals saw top-flight clubs bring in up to £7m more than last season.
Blackpool were the lowest earners of the Premier League but still made £39.1m, while Chelsea earned £57.7m, Manchester City £55.5m and Arsenal £56.2m.
The figures released by the Premier League also show that it has the smallest difference in earnings between the champions and the bottom club in terms of ratio of any major league in Europe.
[/URL]
 
Mapato ya premier ligi pamoja na kuonyesha Man iko juu lakini inatoa mgawanyo mzuri hata kwa wale waliotelemshwa daraja kama blackpool kuwawezesha kujipanga upya..................



Manchester Utd break £60m mark in Premier League TV and prize money

• Manchester United earn new record of £60.4m from TV rights
• Earnings gap between top and bottom clubs lowest in Europe


  • Press Association
  • guardian.co.uk, Tuesday 24 May 2011 15.44 BST <li class="history">Article history
    Wayne-Rooney-007.jpg
    Caught on camera: Manchester United have earned the most from Premier League TV coverage this season. Photograph: Nick Potts/PA

    Manchester United have become the first club to top the £60m mark in earnings from Premier League prize money and TV cash.
    United earned £60.4m as the new record overseas TV deals saw top-flight clubs bring in up to £7m more than last season.
    Blackpool were the lowest earners of the Premier League but still made £39.1m, while Chelsea earned £57.7m, Manchester City £55.5m and Arsenal £56.2m.
    The figures released by the Premier League also show that it has the smallest difference in earnings between the champions and the bottom club in terms of ratio of any major league in Europe.
 



Congratulations Fergie for this auspicious occasion..........................................





Another title for Sir Alex Ferguson as LMA names him manager of the year

&#8226; Manchester United manager honoured by colleagues
&#8226; Norwich's Paul Lambert wins Championship award




  • Press Association
  • guardian.co.uk, Monday 23 May 2011 23.24 BST <li class="history">Article history
    Sir-Alex-Ferguson-007.jpg
    The Manchester United manager, Sir Alex Ferguson, holds the Premier League trophy after his side beat Blackpool on Sunday. Photograph: Carl Recine/Action Images

    Sir Alex Ferguson was tonight named Manager of the Year by his fellow league managers and used the occasion to offer his support to Carlo Ancelotti, sacked by Chelsea within an hour of the season's end for coming second.
    Ferguson was also named the Premier League manager of the year following Manchester United's title triumph and picked up a special merit award for having passed 2,000 matches as manager.
    Speaking at the League Managers' Association awards dinner in London via video link from Old Trafford, Ferguson said: "It's a wonderful honour. It has been a fantastic season for us in the most difficult league in the world."
    Ancelotti, sacked by Chelsea on Sunday, attended the dinner and Ferguson said to him: "Carlo, you are a fantastic man and you have showed great courage in coming to the dinner tonight, well done."
    Norwich's Paul Lambert was named the Championship manager of the year after the Canaries, runners-up to QPR, were promoted to the Premier League at the first attempt, having won the League One title a year ago. Brighton's Gus Poyet picked up the League One award and Chesterfield's John Sheridan won the League Two prize. The LMA service to football award was given to Jimmy Hill, for his lifetime's work as a player, manager, chairman and broadcaster.

 
Jamani uhuru wa kujieleza na kupashana habari siyo wa viongozi tu...........................

Sir Alex Ferguson caught on mic asking for reporter to be banned

Sky News picks up ban demand after journalist raises Ryan Giggs question at Manchester United press conference



  • Josh Halliday
  • guardian.co.uk, Tuesday 24 May 2011 17.15 BST <li class="history">Article history
    Alex-Ferguson-Manchester--007.jpg
    Sir Alex Ferguson's comments were picked up by a live microphone minutes after an exchange with sports correspondent Rob Harris. Photograph: Matthew Peters/Man Utd via Getty Images

    The curse of the Sky News mic struck again at a Manchester United press conference on Tuesday, with Sir Alex Ferguson being recorded telling a press officer to ban a journalist who asked a question about Ryan Giggs.
    Ferguson did not realise his comments were being recorded by Sky News, in an incident similar to the one which threw Gordon Brown's 2010 general election campaign into turmoil and spawned an unlikely national hero in Gillian Duffy.
    Giggs was named in the House of Commons on Monday as the footballer alleged to have had an extra-marital affair with the model Imogen Thomas.
    Ferguson was overhead ordering a press officer to "ban him on Friday" after Rob Harris, a sports correspondent for the news agency Associated Press, asked the United manager "how important" Giggs was for the team on Saturday.
    Ferguson, not amused, shot back: "All the players are important, every one of them."
    Minutes later, the manager was recorded by a Sky News microphone asking press officer Karen Shotbolt about "the guy that asked the question about Giggsy &#8230; at the press conference". She replied: "Which one?"
    Shortly afterwards Ferguson is heard to ask: "Is he coming on Friday?"
    Shotbolt replies: "The guy with the laptop?"
    Ferguson then orders: "Aye. Then we'll get him. Ban him on Friday."
    The Scottish manager is known for his run-ins with the media. Ferguson is due to meet the BBC director general, Mark Thompson, to end a feud which has seen the manager refuse to be interviewed by the corporation for seven years. His press conferences quite often provoke angry rebukes against journalists.
    Mark Evans, head of home news at Sky News, said: "Any microphone is a live microphone."
    Lou Ferrara, AP's managing editor of sport, added: "Rob Harris was doing his job as a journalist by asking a question.
    "Our expectation is that he'll ask more questions and be afforded the ability to do so as he covers the world's most popular sport."
    Manchester United had not responded to a request for comment at the time of publication.

 
Habari za haraka nilizozifumania ni kuwa tumemsaini David De Gea kipa wa Atletico Madrid, nitaweka habari zaidi kadri ninavyozipata. On the other hand testimonial match ya Gary Neville inakaribia kuanza.
 
Mkuu Rutashubanyuma sio kuwa ni chuki lakini jaribu kufupisha hizi habari unazocopy na kupaste maana inatuwia vigumu sisi tunaotumia mobile phones.
 
David Beckham ndani ya uzi wa Man Utd, hii imenikumbusha mwaka ambao tuliambiwa "you never win anything with kids"
 
Hahahaha hiyo ya JT kiboko!

Yule demu wa Rio si alipigwa mvua ya wiki 10! Rio anajifanya hamjui wakati walikuwa wanakula maisha pamoja Peckham!

...ha ha ha, umeona eee? enzi hizo za baleghe hata Leeds United hawajamchukua!...jamaa sasa anang'ang'ania kuficha ma-skeleton kabatini lakini nayo yamemkomalia!
Ujana noma! Nyota inaweza kukung'aria maishani, halafu kikaibuka 'kigagula' ambacho kilikuwa kinakuweka mjini...utatamani ardhi ikufunike!

Susanne-Ibru.jpg
UK_News_4-1_jpg_552990s.jpg
 
...ha ha ha, umeona eee? enzi hizo za baleghe hata Leeds United hawajamchukua!...jamaa sasa anang'ang'ania kuficha ma-skeleton kabatini lakini nayo yamemkomalia!
Ujana noma! Nyota inaweza kukung'aria maishani, halafu kikaibuka 'kigagula' ambacho kilikuwa kinakuweka mjini...utatamani ardhi ikufunike!

Susanne-Ibru.jpg
UK_News_4-1_jpg_552990s.jpg
Noma yenyewe ni kuwa huyo bibie alitamka mahakamani kuwa anajuana na mama yake Rio, Ila huyo dada chizi ata ningekuwa mimi ningemwekea restraining order ya nguvu, wewe unapiga miround trip kutoka London mpaka Cheshire (Manchester) kwenda kusimama getini kwa mtu utakuwa huna akili.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu Rutashubanyuma sio kuwa ni chuki lakini jaribu kufupisha hizi habari unazocopy na kupaste maana inatuwia vigumu sisi tunaotumia mobile phones.



Huyo Rutashubambele haelewi sijui kwanini. Kule kwenye jukwaa la Chelsea nako anachafua hewa kinoma, huyu jama sijui vipi.!!
 
Ryan Giggs na mkewe Stacey Giggs
article-0-0C3A44C000000578-780_634x1056.jpg


Dada inayesemekana Giggs alimla uroda, Imogen Thomas
article-1390219-0C3F229200000578-19_306x608.jpg


Hawa ni baadhi ya wadada ambao Giggs alishawahi kuwa na mahusiano nao kabla hajaoa
article-1390206-0C3B208900000578-718_306x423.jpg
article-1390206-0C3B20CD00000578-538_306x423.jpg

Ex marks the spot: Ryan Giggs had an intense romance with TV presenter Dani Behr (left) and dated former PR girl Caroline Stanbury


Giggs mtu wa vimwana sana, nafikiri ndio maana Ferguson anamweka mbali na media miaka yote hii....lakini hii ya Imogen ni arobain tu zimefika.
 
Kifaa kipya cha Man UTD hiki hapa....................


Manchester United confirm signing of David de Gea from Atlético Madrid

&#8226; Fee for the 20-year-old goalkeeper in the region of £17m
&#8226; 'He's outstanding replacement for Van der Sar,' says Ferguson




  • Daniel Taylor
  • guardian.co.uk, Tuesday 24 May 2011 23.50 BST <li class="history">Article history
    David-de-Gea-007.jpg
    Manchester United have agreed a deal to sign David de Gea from Atlético Madrid. Photograph: John Sibley/Action Images
 
Mafanikio ya MAN UTD msimu ujao yatategemea sana kama huyu kipa mpya ni mahiri...vinginevyo maumivu tuyasubirie.............kipa anaweza kutengeneza point hadi 15 kwa kuzuia magoli na hivyo kuleta ushindi kwa msimu mmoja,......................
 
Mafanikio ya MAN UTD msimu ujao yatategemea sana kama huyu kipa mpya ni mahiri...vinginevyo maumivu tuyasubirie.............kipa anaweza kutengeneza point hadi 15 kwa kuzuia magoli na hivyo kuleta ushindi kwa msimu mmoja,......................

Wee Ruta
I wish uwe una post hivi day day out hapa kijiweni, achana na stori za kutuwekea stori ndeefu...watu wamekuomba weeee uache naona huelewi, weka link au stor kwa ufupi tena ambayo UME EDIT! tumekuomba sana kistaarabu lakini yaelekea unatuona sie mafala, asa we shall go plan B...
acha hizo bana, unatuboa tu.
 
Wakuu zimebaki siku tatu tubebe ndoo ya ubingwa wa ulaya.Wacha1 & wazee wa fitina jiandaeni kutimua mbio badala ya kuzungumzia mpira mnajadili maisha binafsi.
 
Habari za haraka nilizozifumania ni kuwa tumemsaini David De Gea kipa wa Atletico Madrid, nitaweka habari zaidi kadri ninavyozipata. On the other hand testimonial match ya Gary Neville inakaribia kuanza.

Hongereni maana De Gea ni kipa bomba sana, Sasa mkuu(off topic), tuombeane hapo j1, yaani kama vile mimi ninavyokuombea wewe, basi nawe niombee mimi nichukue hicho kikombe, sababu wewe utashinda mwakani kwa vile utakuwa na timu nzuri!!!!
 
Manchester United boss Sir Alex Ferguson has told World Cup winning boss Marcello Lippi that he would take Cristiano Ronaldo back to Old Trafford "tomorrow". (The Sun)
 
Manchester United have emerged as shock suitors for Arsenal star Samir Nasri , who is stalling on a new contract with the Gunners. (Metro)
 
Back
Top Bottom