Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Iwe ni EPL kibindoni
Source?Ninashukuru kwa taarifa ila hatacheza kwa sababu moyo wake tayari uko Real Madrid
Nani kakutuma Wenger au OmogEti mwaka kesho kumbakumba mnachukua ndoo zote,endeleeni kujifaliji.leo hamtoki kwa Ajax.

Acha hizo maneno za kupaki bus kabisa Sergio asije rudi nyavuni kuokota mpira Mara 3madogo hawan attacking ya kumtisha mou so kma kawa.. goli 1 tuna paki bus!!