Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[HASHTAG]#HapaAjaxTu[/HASHTAG]. ..lazima mcheze Europa hakuna namna sasa ..mourinho msimu ujao hatupo naye UEFA, na hata akiingia hatafanya la maana. Mapema sana kwenye makundi atapitishwa hivi. Timu mbovu haina ushindani, timu imekuwa ya option sasa iv mnalazimisha kwenda uefa wakati wachezaji hawaja andaliwa kushiriki. Hahaha mtapotea tuu. Ngoja Ajax atamwonesha mou namna timu inavotakiwa icheze hahaha
Trying to find sense in this post
bfd0a9033c8d1c9d5b80cfa058b4dd6a.jpg
 
Back
Top Bottom