Hakuna mapana yasiyo na ncha Manutd kushinda ubingwa EPL wengi itabidi waishie kuanzia Rooney, Carrick, Ashley Young, Jones, Smalling hata Martial na wale left back hati hati, Sijui Damian na mwenzie kiwango hakiridhishi
Angalia hela wanayolipwa kwa wiki na kiwango hakuna uhusiano
It is time to clean up the excess baggage!