Msimu wetu wa EPL uliisha siku tuliyotoka sare na Swansea. Kuanzia siku ile mechi zilibaki mbili vs Celta na vs Ajax.
Mechi nyingine zote ni warm ups kwa ajili ya mechi hio. Tukishinda hio mechi tunapata kombe ambalo hatukuwahi kupata na nafasi ya kucheza ECL.....its a NO BRAINER!