Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

f61090b74706498eaee172f6996a36a6.jpg
 
Yani man tia maji tia maji sn,
Hii aina ya uchezaji ya kuzuia sijuuuui!!!
 
Tatizo la man u msimu huu ni kushindwa kukill off the game na mou naona kashindwa kabisa kurekebisha hili timu haina njaa ya mabao kabisa inacheza kwa kuridhika inabidi wabadilike aiseee hata kama wana goli inapaswa wacheze kama ndo wanataka kusawazisha
 
Tatizo la man u msimu huu ni kushindwa kukill off the game na mou naona kashindwa kabisa kurekebisha hili timu haina njaa ya mabao kabisa inacheza kwa kuridhika inabidi wabadilike aiseee hata kama wana goli inapaswa wacheze kama ndo wanataka kusawazisha
hahaha
hapo tunasubiri Smalling na Jonea ndio wacheze fainali
mweeer!
ila bora tumepita hiyo tu ni vema
 
Back
Top Bottom