Hesabu za Mou katika hizi game za Mwisho zinaiweka man U katika nafasi ngumu ya kuingia top 4,tunatakiwa kucheza fainal ya Championship huku tukitakiwa kuingia top 4,afu hapo hapo tunakiwa kucheza na Man City,Chelsea,Asernal.
Hadi sasa tupo katika nafasi Salama.