Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh, mkuu man city na chelsea zipi ambazo hatujacheza nazo? Au siku hizi timu hua zinarejeana mara tatu?
 
Martial Na Lingard Ndo Mwisho Wao Hawana Sifa Zakuchezea Manchester United
Kuna wachezaji wengi sana wanatakiwa waondoke ila ndio hivo, lingard hata mwezi haujaisha toka kaongeza mkataba.
 
Mkuu lingard nae ana kipaji?
Kufanikiwa kwenye soka hakuitaji kipaji peke yake,Ravel Morrison alikuwa ndio mchezaji mwenye kipaji kuliko wote kwenye academy lakini hakuna alichofanya hadi sasa.
 
Kufanikiwa kwenye soka hakuitaji kipaji peke yake,Ravel Morrison alikuwa ndio mchezaji mwenye kipaji kuliko wote kwenye academy lakini hakuna alichofanya hadi sasa.
Hujajibu swali, swali ni "lingard nae ana kipaji cha soka?" Huko shule mlienda kusomea ujinga?
Cc: Faiza Fox
 
Hujajibu swali, swali ni "lingard nae ana kipaji cha soka?" Huko shule mlienda kusomea ujinga?
Cc: Faiza Fox
Binafsi nakubali ana kipaji,ni mchezaji mzuri ndio mana nasema tuendelee kumlea.
 
Mkuu hapa nimesoma vibaya ama?
Nop upo sahihi,may kuna utofauti wa nyakati,hizo timu tumecheza nazo ila nilitaka kuonyesha hesabu za Mou,kikosi na michezo tuliyonayo katika hizi game za mwisho wa ligi,baada ya Man U kuingia robo fainal.
 
Wakuu naombeni site ya kuchek game kwa streaming niliyokuwa natumia naona inazingua mie nilikuwa natumia goatd.net
 
Hilo lilikua liwe jibu, hata hivo hayo ni maoni yako, mimi sijaona kipaji chake zaidi ya kukimbiakimbia tu uwanjani
Sio Maoni yangu tu hata makocha kina LVG,Butt,Southgate na Mourinho
 
Arsenal XI: Cech; Holding, Koscielny, Monreal; Oxlade-Chamberlain, Ramsey, Xhaka, Gibbs; Özil, Sanchez; Welbeck.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…