Mkuu inawezekana sana hizi timu za europa ni za kawaida sanaAnayekwazika usimjibu...hili jukwaa kila mtu yuko huru kutoa maoni yake. Cha maana usitukane.
Kama mimi hapo ulipojifumba macho ukajitekenya kuwa mtashinda Europa nimekusitiri tu lakini ni haki yako kujipa raha na kuota ndoto za alinacha.
Anayekwazika usimjibu...hili jukwaa kila mtu yuko huru kutoa maoni yake. Cha maana usitukane.
Kama mimi hapo ulipojifumba macho ukajitekenya kuwa mtashinda Europa nimekusitiri tu lakini ni haki yako kujipa raha na kuota ndoto za alinacha.