Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yule dogo dembele ni hazina kubwa
 
If David De Gea departs, a Schmeichel could once again be in goal at Old Trafford, as United are reportedly front-runners to sign Leicester City's Kasper Schmeichel .
 
sidhani kama kuna sehemu yoyote kwenye hayo mazungumzo nilipokuhakikishia kwa % 100 kuwa hao watu wanafaa, nilichofanya nikuangalia viwango vyao then nika compare na wachezaji wetu tulionao and i wished for my team to own them.

poborsky, veron, diego forlan djemba djemba, depay, bebe etc hao wote walifanyiwa scouting lakini end product yao wakiwa manchester ni aibu.
 
Hiki kikosi cha sasa hivi hovyo kweli.Kufunga kwa shida halafu kuruhusu magoli kirahisi.Top Four ilikuwa nje nje lakini draws na vitimu vidogo zimekuwa nyingi sijui tatizo ni nini.Kams walivyosema wengi tunahitaji mtu anayefahamu kufunga magoli design ya Lukaku
 
Habarini wana GGMU wenzangu!
Mimi ni nyukama kdg hapa naombeni mnikaribishe!
Pia kwa mwenye kuwepo ktk grupu la man utd whatsapp naomba anistue nimPM no. Yangu aniadd

Once again GGMU!
 
Alhamisi inabidi tumalize mchezo kulekule spain,tukipigwa au kudraw,hakika fainali tutaisikia tu..
 
Habarini wana GGMU wenzangu!
Mimi ni nyukama kdg hapa naombeni mnikaribishe!
Pia kwa mwenye kuwepo ktk grupu la man utd whatsapp naomba anistue nimPM no. Yangu aniadd

Once again GGMU!
Karibu sana mkuu jisikie upo old Trafford
 
Wakuu Wangu...naomba tujiandae kisaikolojia kwa lolote.....top four huenda hatutaiona na celta Vigo huenda watatutoa!!tujiandae kuangukia pua wakuu!!majeruhi wanatuweka ktk nafasi finyu na vijana waliopewa nafasi wameshindwa kuzitendea haki nafasi walizopewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…