Upo sahihi mkuu....ingawa namuangalia Dembele naona kama mbeleni atakuwa mchezaji mzuri na bei yake itaenda juu sasa ni kwann tusimchukue sasa hivi akaanza kucheza pale taratibu bila pressure lakini pia kwa bahati mbaya maurino hawezi kufanya kazi na watoto kama hawa
Mbappe ni kweli hata mim namfananisha na Rashford naamini timu itakayo mnunua huyu watakuwa wamejipatia Rashford wao
If David De Gea departs, a Schmeichel could once again be in goal at Old Trafford, as United are reportedly front-runners to sign Leicester City's Kasper Schmeichel .
Braza, naomba nikuulize: umetumia vigezo gani kufikiri hao uliowataja watafaa United? Unaelewa timu ina mtu anayelipwa mshahara kufanya scouting ya wachezaji? Ina maana wewe una resources kama alizo nazo huyo mtu mpaka useme hao uliowataja wanafaa kwa United?
Naelewa unapotokea, lakini tuwe pia rational katika maongezi yetu.
sidhani kama kuna sehemu yoyote kwenye hayo mazungumzo nilipokuhakikishia kwa % 100 kuwa hao watu wanafaa, nilichofanya nikuangalia viwango vyao then nika compare na wachezaji wetu tulionao and i wished for my team to own them.
poborsky, veron, diego forlan djemba djemba, depay, bebe etc hao wote walifanyiwa scouting lakini end product yao wakiwa manchester ni aibu.
If David De Gea departs, a Schmeichel could once again be in goal at Old Trafford, as United are reportedly front-runners to sign Leicester City's Kasper Schmeichel .
Hiki kikosi cha sasa hivi hovyo kweli.Kufunga kwa shida halafu kuruhusu magoli kirahisi.Top Four ilikuwa nje nje lakini draws na vitimu vidogo zimekuwa nyingi sijui tatizo ni nini.Kams walivyosema wengi tunahitaji mtu anayefahamu kufunga magoli design ya Lukaku
Habarini wana GGMU wenzangu!
Mimi ni nyukama kdg hapa naombeni mnikaribishe!
Pia kwa mwenye kuwepo ktk grupu la man utd whatsapp naomba anistue nimPM no. Yangu aniadd
Habarini wana GGMU wenzangu!
Mimi ni nyukama kdg hapa naombeni mnikaribishe!
Pia kwa mwenye kuwepo ktk grupu la man utd whatsapp naomba anistue nimPM no. Yangu aniadd
Wakuu Wangu...naomba tujiandae kisaikolojia kwa lolote.....top four huenda hatutaiona na celta Vigo huenda watatutoa!!tujiandae kuangukia pua wakuu!!majeruhi wanatuweka ktk nafasi finyu na vijana waliopewa nafasi wameshindwa kuzitendea haki nafasi walizopewa