Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani pale pa kupanda ndio tunaharibu lakini ndio mpira huo game ilikuwa imeikaa kimtego mtego na pia nyanda wao kafanya saves nyingi tumpongeze
 
Wachezaji wetu wabadilike hizi mechi zilizobakia lazima wafia timu wasicheze mradi tu wanacheza
 
Wachezaji wetu wabadilike hizi mechi zilizobakia lazima wafia timu wasicheze mradi tu wanacheza
Kina lingard msimu ujao wataelewa show wanazingua wakija watu wa kazi watacheza game za capital one labda
 
Ninavyowaangali Spurs wanavyocheza kisha sisi ndio tunatoka katika uchovu huu wa mechi hizi

VS Celta Vigo
VS Arsenal
VS Celta Vigo
Kisha tunacheza na Spurs kwao sijui itakuwa vipi
 
Ndio nakubali uchovu upo lakini wakicheza kwa malengo unapata matokeo. Mfano leo goal lilivyorudi wachezaji baada ya kuchukua mpira kwenda kuanza wote wameshika vichwa na kunyong'onyea angalia City wakifungwa au wakirudisha wanavyokuwa na haraka ya kupeleka kati mpira uanze
Kina lingard msimu ujao wataelewa show wanazingua wakija watu wa kazi watacheza game za capital one labda
 
yani hata mie baada ya kuona droo ya city kidogo nikaona afadhali. ila sijaifurahia droo yetu ya leo. ingawa ndiyo mpira.
aina ya wwchezaji tulionao wanqchangia matokeo haya tutasajili watu wenye nia tutabeba EPL mwakan
 
Back
Top Bottom