Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh 10 draws at home! ECL tupitie Europa sasa ila kwa injuries tulizonazo, huko nako kugumu.
 
Wiki ijayo tunarudi katika nafasi yetu kama wachezaji wataendelea kucheza kwa uchovu huu
 
Hivi mechi za nyumbani tumelogwa na nani?? Ilitakiwa wajiamini wakiwa nyumbani ila ndo imekuwa majanga OT aaaarghhh....
 
Pengine wachezaji wameshaathirika kisaikolojoa. Yaani hatukuonyesha njaa hadi Swans waliposawazisha
Kikosi kisukwe upya kuna mizigo mingi. Ukimwangalia Jones au Smalling musimu mzima ni kuuguza majeraha. Wachezaji wengi hawana sifa ya kuichezea hii timu.
 
09c4676535d28540237b8db06c5d63b8.jpg
 
Wach
Kikosi kisukwe upya kuna mizigo mingi. Ukimwangalia Jones au Smalling musimu mzima ni kuuguza majeraha. Wachezaji wengi hawana sifa ya kuichezea hii timu.
Wachezaji tuliokuwa nao kwa sasa hawajui umuhimu wa mechi wanacheza tu
 
Kikosi kisukwe upya kuna mizigo mingi. Ukimwangalia Jones au Smalling musimu mzima ni kuuguza majeraha. Wachezaji wengi hawana sifa ya kuichezea hii timu.
Sure, world class and match fit players wanahitajika, sio kila siku tunauguza
 
Back
Top Bottom