Kazi ya kocha ni kuiweka mikakati kulingana na vipaji vya wachezaji wake.
Na kwenye hilo, Mourhnio hana mpinzani.
Tangia Chelsea watufunge nne mtungi Mourhnio kabadili staili na mikakati ya mchezaji na leo mechi 22 kwenye mashindano yote hatujafungwa na Chelsea leo kakiri hilo tena kwa kuzabwa bila yeye kupiga shuti hata moja golini.
Mourhnio siyo utaniiii