sasa kweli hata diego costa tukimpeleka pembeni angekuwa ameshinda hizo goli alizonazo..afu sio kwamba martial pembeni hachezi vizuri,ila ni chanse za kucheka na nyavu zinapungua..
So far Lingard,Mikhi,Rashford,Mata wana guarantee kuwepo next season na Mourinho ameshasema foward ni mbovu so ni wazi atasajili Forward Martial anapaswa kuongeza bidii otherwise Jose ataamuuza kama timu zikimtaka