kama ilivokawaida ya media za england macho yote yapo manchester, hasa kwa kinachoendelea kati ya jose na shaw, wataokoteza okoteza vihabari ilimradi Manchester ihusishwe,
The times wanadai Jose na shaw hawajawahi kuongea toka kwenye ile game na Bournemouth (zaidi ya mwezi sasa nadhani)
samuel Luckhurst anadai shaw pia hana mahusiano mazuri na baadhi ya wachezaji wenzake, kwenye mazoezi hajitumi na haoneshi hata kujali, na kuna hata baadhi ya wachezaji wamekili hilo.
Pia kuna report zinasambaa kwamba tumeanza kutafuta replacement yake, Kieran Tierney toka celtic ndio anazungumzwa sana.
Shaw anatakiwa ajitambue, pochettino, LvG, sasa ni José wote kazinguana nao, Anatakiwa ajue anachezea Manchester utd one of the biggest club in the world, he has to fight for the badge, kuna thousands of players ndoto yao ni angalau tu kugusa nyasi za OT, kama hayupo tayari kujituma na kupigania namba he can fvck off.