Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-04-04-17-26-49.png
 
Hii habari ya IBRA kutoongeza sina uhakika nayo ninahisi Agent anajenga mazingira ya kutunisha kitita ili mgao wake na IBRA kiongezeke


Screenshot_2017-04-04-17-29-20.png
 
Man Utd kaachwa points 16 na Chelsea. Hizo ndizo points Man Utd kapoteza kwa kutoka sare michezo 8 nyumbani!
 
1e121813cff25f5736d4276763b86d05.jpg

Kikosi cha Leo
Naona Jose anawapumuzisha Paul na makh kwa game ya Chelsea au ni kwa ufundi zaidi maana sijamuelewa kabisa leo
 
Back
Top Bottom