Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio ushindi wetu huo kwa sasa, nafasi ya 6 pengine kesho tutarudi kama kawa, na kama si kesho hakuna shaka wiki ijayo rasmi tutarudi pale pale
 
Hahahaha nacheka kama mazuri aisee labda tuna la kusema lakini nimeamini zlatan muhimu sana mnamsemaga bure tu mzee yule. Leo timu haieleweki rashford sio central striker na hawezi kukaa kati anahama sana..
 
Leo no excuse wadau, timu yetu haistahili kuwepo Top4, hata Europer Cup hatutoweza kubeba kwa aina ya wachezaji tulionao, tuna average player wengi sana, wachezaji wengi hawastahili kuchezea Man Utd like Lingard, etc
Since Sir Alex retirement hii timu imekua mshipa uliomshinda fisi,
Mourinho apewe muda atutengenezee Manchester United mpya.

Football is a process
 
Tulishasema zamani hatuna timu ya ushindani, so usitegemee icho kitu, nafasi yetu ni ile ile ya 6
Huu ndio ukweli ila kuna baadhi ya fans hawataki kuamini, kwa aina ya wachezaji tulionao hatutomaliza ndani ya Top4
 
Hahahaha nacheka kama mazuri aisee labda tuna la kusema lakini nimeamini zlatan muhimu sana mnamsemaga bure tu mzee yule. Leo timu haieleweki rashford sio central striker na hawezi kukaa kati anahama sana..
Unafaham uzuri wa Zlatan upo wap?
Anajua kuji'position muda na wakati sahihi, experience inamsaidia sana, Rashfod simraumu, kiwango chake kimeishia pale
 
Hahahaha nacheka kama mazuri aisee labda tuna la kusema lakini nimeamini zlatan muhimu sana mnamsemaga bure tu mzee yule. Leo timu haieleweki rashford sio central striker na hawezi kukaa kati anahama sana..
Tatizo la kukosa/kufunga magoli ni la timu nzima,niliwahi kusema huko sio Zlatan tu anayepoteza nafasi za kufunga
 
Man u are showing interest on the sixth place, they might consider taking it back soon..
 
Unafaham uzuri wa Zlatan upo wap?
Anajua kuji'position muda na wakati sahihi, experience inamsaidia sana, Rashfod simraumu, kiwango chake kimeishia pale
Wapo wanaosema Zlatan ni mzee anakosa sana magoli bora aanze Rooney.
Magoli sio lazima yafungwe na Foward tu,mabeki na viungo wanapaswa kuwasaidia.Mabeki wa kati wa Chelsea Luiz+Cahill+Alonso wamefunga magoli 9
 
Back
Top Bottom