Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Acha unafiki hata huoni aibu kwanza tumepata red card na kipindi cha pili tumefaiti sana ...babu yupi unayentaja wewe harafu mlinganishe na mchezaji wakoNdo uwezo wenu ulipoishia.
Timu inategemea mababu kushinda
Saa ngapi mkuu au wewe ulikuwa unaangalia marudio ya ile mechi ya 2012?Pamoja ya kuwa tumefungwa ila mpira tumewapigia..
Asiyekubali kushindwa si Mshindani Vijana wamepambana bahati haikua kwetu ROJO Amefanya kazi yake Vizuri Costa kidogo aombe poo.Binafsi namkubali sana Rojo hana mambo mengi uwanjani tena hata mpira wa kitemi anaujua sana akiwa fiti apangwe Rojo Vs Diego Costa lazima kuna mtu ataacha kiatu kiwanjani.
Smalling Vs Baily Hapana hawa jamaa wanajikutaga wote wapo sehemu moja ni rahisi kupitika sana.
Kipindi cha nyuma kuna combination ya Rojo vs Jones ilikua hodari sana kama vipi wapangwe ili Viungo laziwa wawe wengi.
Japo tumetolewa ila leo nimekubali sana kiwango cha rojo!! huyu jamaa anafaa sana pale nyuma!! Degea nae ameonyesha uimara sana!! ni ukweli usiopingika kwamba leo tumeweza wazuia hawa jamaa!! kila nikikumbuka zile 4, naona kabisa gemu ya leo tumejitahidi sana!! tutakutana nao tena ligi kuu....TUTAWANYOOSHA HAKYANANI!!
1. Ibra na Rooney.Acha unafiki hata huoni aibu kwanza tumepata red card na kipindi cha pili tumefaiti sana ...babu yupi unayentaja wewe harafu mlinganishe na mchezaji wako
Na kweli maana maneno mengi sie tunataka matokeo.Tusubiri tu. Wiki tatu tu mbele
Msimu wa Man Disunited ndio unaanza, msimu wa Chelsea ndio umeisha leo.Wacha nirudi kwetu...
Ivi wanaopanga marefa si wanajua kabisaa au ndio kusudi...Kuna uhaba wa marefa watakaoweza kuchezesha mechi kubwa. Kila refa ni mbovu ila uyu wa leo kaendeleza bifu lake.
Kadi 4 nyekundu ndani ya miaka mitatu.