Mkuu Herrera hapo ndo kuna utata,, ila sio mbaya sana kama tutachemka basi Griez awe back up,, tim haiwez kujengwa kupitia kwa kna Ibra,, sjajua kama timu itasajili fowad wa maana Ibra atacheza wap,, na sjui kama atakubali kuwa mtu wa benchi,,,, binafsi naamin mechi nyingi msimu huu,,ama tultoka sare,, kupoteza ama ushindi wa bao 1 sabab ya kukosa mshambuliaji makini mwenye uwezo na uchu wa mabao,,.. Sikatai Ibra ni world class,, ila naamin kila kitabu na zama zake ndio maana simwoni wazza akisalia OT,, na ndio maana dinyo aliamua kuondoka barca kuwapisha kna messi,,,, Try Dyabala mr. Woodward