Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martial kipindi cha kwanza hakuweza hata kumlenga kipa hii ni aibu kwake kama anataka apangwe kila siku
 
Bao LA Blackburn lazima litawwacha na maswali mengi jinsi haswa Rojo na Smalling walivyopitwa
 
Lakini huyu kipa Romero naye ajiulize kwanini alitema mpira karibu na striker Wa Blackburn na nusura afungwe kama mfungaji asingelikuwa offside
 
hahahahaha eti timu nyingine lol! hata wapinzani wenu hujui wanaitwa nani? Hongereni lakini si haba kama mtaweza kushinda kikombe cha uchochoroni/kombe mbuzi 🙂

Uchokozi huo mkuu, shukuru ndio kombe saizi yako hili, kwanza unajua kuwa Arsenal wamempa ofa Wenger miaka miwili? Bado mzee mwenyewe tu kuamua
 
lol! bila uchokozi Mkuu ushabiki haunogi! Uchokozi na ushabiki vinaenda sambamba.

Uchokozi huo mkuu, shukuru ndio kombe saizi yako hili, kwanza unajua kuwa Arsenal wamempa ofa Wenger miaka miwili? Bado mzee mwenyewe tu kuamua
 
Back
Top Bottom