Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kunatofauti ya EPL na EFL usikariri ....angekufa vibaya mno
Timu ni zile zile.

Na nyie nawafahamu vyema....

Good thing is kesho nitakuwa live kuangalia Hull akiwafundisha mpira. Pamoja na Mason kuumia lakini hamna uwezo wa kumfunga keshi hata refa akiwabeba na offside goals zenu.
 
Mara ya mwisho Liver kutufunga ni lini? Liver wakicheza wenyewe kwa wenyewe hawawezi kuchukua kombe
Ahahahaha very funny.

Anyway tusiongelee nadharia maana tutaishia kubishana over something that will never materialise.

Game ya kesho mmejipangaje? Has Mourinho spoken? Ama hizi za EFL hazina pre match press conference?
 
Ahahahaha very funny.

Anyway tusiongelee nadharia maana tutaishia kubishana over something that will never materialise.

Game ya kesho mmejipangaje? Has Mourinho spoken? Ama hizi za EFL hazina pre match press conference?

Game ni leo na ushindi uko wazi. Tunaenda kukamilisha ratiba tu.
 
Game ni leo na ushindi uko wazi. Tunaenda kukamilisha ratiba tu.
Duh unajua huku Honolulu, Hawaii bado tuko jumatano ndo kwaaanza tunaandaa dinner. Tusameheane bure sometimes najisahau.

Hehehehe mnaenda kukamilisha ratiba kama Zimbabwe juzi ama? Heheh
 
Timu ni zile zile.

Na nyie nawafahamu vyema....

Good thing is kesho nitakuwa live kuangalia Hull akiwafundisha mpira. Pamoja na Mason kuumia lakini hamna uwezo wa kumfunga keshi hata refa akiwabeba na offside goals zenu.
Kinachofata ni kuliita kombe la mbuzi pale Wembley tumeshawazoe na izo chuki zenu zimeshatukomaza [HASHTAG]#Manchester[/HASHTAG] is Red
 
LvG wa kijeruman kwenye kichapo cha jana eti anaulaumu upepo, hivi akijaenda Britannia stadium sijui ataongea nini?
 
LvG wa kijeruman kwenye kichapo cha jana eti anaulaumu upepo, hivi akijaenda Britannia stadium sijui ataongea nini?
Unamvunjia heshima LVG kumlinganisha na Klopp.Licha ya kutokufanya vizuri akiwa United still Klopp si size ya LVG

1.LVG alishachukua ubingwa wa Champions League Klopp hajawahi

2.Klopp aliishusha daraja Mainz,LVG hajawahi kushusha daraja timu

3.LVG amechukua ubingwa wa Holland,Spain,Germany na amefundisha timu kubwa za ulaya (Ajax,Barca,Bayern,Man United)
 
Timu ni zile zile.

Na nyie nawafahamu vyema....

Good thing is kesho nitakuwa live kuangalia Hull akiwafundisha mpira. Pamoja na Mason kuumia lakini hamna uwezo wa kumfunga keshi hata refa akiwabeba na offside goals zenu.
Aisee......
 
Lipuli fc wanamkazia Man U,wanalegezwa na watoto wadogo sasa subiri tuwaoneshe jinsi tutakavowafanya pald wembley,sherehe inaanza leo.
 
055938560_n.jpg

Happy birthday boss
 
Unamvunjia heshima LVG kumlinganisha na Klopp.Licha ya kutokufanya vizuri akiwa United still Klopp si size ya LVG

1.LVG alishachukua ubingwa wa Champions League Klopp hajawahi

2.Klopp aliishusha daraja Mainz,LVG hajawahi kushusha daraja timu

3.LVG amechukua ubingwa wa Holland,Spain,Germany na amefundisha timu kubwa za ulaya (Ajax,Barca,Bayern,Man United)
Acha kumfananisha Klopp na jambo la kijinga
 
Hamna namna na wapigwe tuu kama alivyosema Mh Pinda

Leo tunaenda kumalizia tulipoishia na Hull City baada ya hapo tarehe 26/2 ndani ya Wembley Wayne Rooney atanyanyua kombe letu la kwanza kwa msimu huu
Hivi lile 'cursed cup' ngao ya hisani huwa halihesabiwi?
 
Back
Top Bottom