SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,860
Hahahahahaaaaa halafu nimegundua kumbe huwa mnanimiss sana.Nifah Nimekumisije Naona Uwepo wako Umezidi kunogesha jukwaa
Una kaupenzi na hii timu ila unajilazimisha tu kwenda huko kwingine....nyumbani ni nyumbani tuHahahahahaaaaa halafu nimegundua kumbe huwa mnanimiss sana.
Nitakuwa nakuja kuwatembelea
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.Una kaupenzi na hii timu ila unajilazimisha tu kwenda huko kwingine....nyumbani ni nyumbani tu
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.
Ilikuwa suluhu bado pointi mbili tunawafuata tartiibuBora hivi tulivyokuwa wamoja nyumbani...kumbuka nyumbani ndio zaidi kwingine tunaiga/kujipendekeza tu.
Huwa nawashangaa sana wanaotuponda tunaoshabikia mpira wa nyumbani.
BTW hivi jana mikia matokeo yao vipi?Sina khabari kabisa
Hawana jipya wale,kombe la Jangwani as alwaysIlikuwa suluhu bado pointi mbili tunawafuata tartiibu
Swadakta maneno yakoHawana jipya wale,kombe la Jangwani as always
Wameweka paund million 7Bado nasubiri kuona Januzaj nadhan huyu naye Maurino atamuondoa.....
DoohAll the best
Kunywa sumu upone ugonjwa wakoMkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.
Hebu tusaidiane kujibu hili swali aisee...