Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Ingawa Draw Kwangu mimi ni Mbaya Kabisa na Wala Sina Sababu Ya Kuishangiria! Lakini Baada Ya Kukiona Kikosi Cha leo Cha Liverpool XI Niingiwa na Wasiwasi Mkubwa Wa Kupoteza Mchezo Wa Leo.... Lakini Point 1 ni Katika Hesabu pia....