Mwamuzi tayari amewasaidia kwa kumtoa kwa kadi nyekundu kijana wa WH.hawa west ham walituaribia msimu uliopita . hope leo tutalipiza
Babu IBRA Leo naona hayuko sawa bora atoke aingie rashfodTunakosa ubunifu kule mbele nadhani..Mata,Martial au Rashford mmoja wapo anaweza kubadili matokeo..watoke lingard na Damian.
Goli?Mataaaaaaaa
Nilisema subirini dakika ya 60.Watu wengi hawajui
1.sometimes ni ngumu kucheza against ten men than against eleven.
2.ni ngumu kucheza mechi nyingine baada ya 48hrs only.
Obviously Mou amewaambia wasilazimishe mpaka dakika ya 60 hivi hapo ndio utaona tofauti ya watu kumi vs kumi na moja.
Goli?