Mkuu kuna Edin Dzeko naona £30-35 mil naye hajafunga mpaka leo lol...! Aliletwa kuwasaidia kwenye EuropaHaya tutaona na yule shevchenko ll a.k.a Torres ndio kabisaaa atatafutia kocha wa kuweza kumtia .si unamjua bosi wenu? Lol
Hahaha, ebanae ngoja niangalie Undercover Princes hapa nicheke Hasira ziishe.. Kesho ata sijui niangalie mechi gani maana el clasico pt 2 of 4 iko.
Mkuu kuna Edin Dzeko naona £30-35 mil naye hajafunga mpaka leo lol...! Aliletwa kuwasaidia kwenye Europa
Hahaha, ebanae ngoja niangalie Undercover Princes hapa nicheke Hasira ziishe.. Kesho ata sijui niangalie mechi gani maana el clasico pt 2 of 4 iko.
Haya tutaona na yule shevchenko ll a.k.a Torres ndio kabisaaa atatafutia kocha wa kuweza kumtia .si unamjua bosi wenu? Lol
Mkuu kuna Edin Dzeko naona £30-35 mil naye hajafunga mpaka leo lol...! Aliletwa kuwasaidia kwenye Europa
Huh? Unamaanisha Prince Africa of Zulu?Duh,nilimpenda yule mkaka wa princess wa Uganda....i just wish i was a princess!:angry:
Issue ya Torres inanikumbusha Berbatov alivyokuja Man Utd especially baada ya kufanya vizuri na Spuds, watu kila siku walikuwa wanataja bei. Rooney aliresort kwenye kupiga penalty matokeo yake akaishia kupaisha (vs Arsenal).Hahahahaha!! Striker yoyote asipofunga anakuwa na maisha magumu sana, muulize Rooney. Dawa ni kumpanga tu, lakini kwa Chelsea sasa hivi sio muda wa kufanya majaribio, hivyo nategemea Drogba kumalizia msimu kama first choice.
Refa aliongeza kati ya dakika 8 - 11 still hatukufunga,lakini afadhali hatukuwa 4-0 by halftime na kuja kuishia 4-4 at full time. Still inauma maana tumepoteza point mbili.Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hii timu huwa wanachoka peke yao wakicheza ugenini khe khe khe kheeeeeeeeeeee karibuni kwenye EPL khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia mmemnyoa New Castle united khe khe kheeeee refa hakuongeza muda mfunge?
Hahahahaha!! Striker yoyote asipofunga anakuwa na maisha magumu sana, muulize Rooney. Dawa ni kumpanga tu, lakini kwa Chelsea sasa hivi sio muda wa kufanya majaribio, hivyo nategemea Drogba kumalizia msimu kama first choice.
Torres sasa hivi kachanganyikiwa yule, sema endeleeni kumpanga hili awapoteze kabisa lol.
Kesho tunaanza na timu iliyocheza na West Brom J'mosi.
Kesho tunaanza na timu iliyocheza na West Brom J'mosi.
Kesho Chelsea akishinda na Arsenal akifungwa au draw mtakuwa mmelingana point?Wagumu wale,watawapa draw kwa kiwango chenu cha sasa hivi.
Naona Bale yuko gym anajifua na bondia kwa ajili ya mechi ya kesho lol!! Kweli kakamia...dawa ya Bale ni Rafael alimweka mfukoni.
haya matokeo yanashangaza!
Disgraceful ad disgusting perfomance to be honest.
We have given arsenal and chelsea a lifeline to the title.
Walikuwa slow sana leo ila sio mbaya kwa point moja....
Kitu 0-0 mwanangu, sasa hapa ngoja nim-tweet fabregas kumpa matokeo manake hata sidhani wakijaga uwanjani wanajua nini kimewaleta lol.
Nguvu zote kesho tuone reaction ya wachezaji wetu . Noma sana mwaka huu kutoka bila bila kwa style hii.
Yeah mpira ulikuwa sio mzuri leo sijui kuchoka au ni vipi....
Hahah acha hizo mkuu najuwa hapo ulipo umefurahi sana leo....
giggs missed a sitter, rooney missed a sitter...when that happens unajua sio siku yenu! Anyway tusubirie everton.
Kinachofurahisha ni jinsi Arsenal watakavyowasikitisha hiyo kesho muishie kumshambulia AW!!..mimi simo!
Mechi ya leo imeniboaa vibaya..khaa!!
Mkuu manda yupo? Au bado yuko kwenye foleni ya kuelekea st james park? Lol
Kesho Chelsea akishinda na Arsenal akifungwa au draw mtakuwa mmelingana point?
Umeona alichosema Fabregas kwenye interview yake na gazeti la Don Balon?Thanks mkuu wacha1 nawasoma hapa vijana .